Monday, September 9, 2013

Damu ya Yesu yamnasa Mchawi IJUMAA KUU Mbeya ni kijana Jofrey Japhet. Na, Ezekiel Kamanga, Mbeya. KIJANA Jofrey Japhet(18), mkazi wa Kijiji cha Nanyala wilayani Mbozi mkoani Mbeya amenaswa na kile kilichoelezwa kuwa ni nguvu za Mungu siku ya Ijumaa Kuu jana. Tukio hilo limetokea leo eneo la Nzovwe Jijini Mbeya majira ya saa kumi alfajiri katika viwanja vya Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) ambapo mkutano wa Injili ulikuwa ukiendelea. Akizungumza na Mwandishi wa habari hizi aliyefika mapema eneo la tukio, kijana huyo alisema kuwa alikuwa pamoja na mjomba wake aliyemtaja kwa jina la Edwin Mwakaswila ambaye alimtuma kijana huyo kumchukua binti ambaye alitakiwa waongozane kwenye safari kuelekea Sumbawanga mkoani Rukwa. ��Nilikuwa na Mjomba wangu anayeitwa Edwin Mwakaswila tukielekea Sumbawanga kwa ajili ya kwenda kuongezewa cheo cha nguvu za giza(uchawi) ndipo tulipofika hapa akaniambia niingie kanisani kumchukua Ester Mwashilindi ili tuende nae ndipo nikazidiwa na kushindwa kuondoka ndani ya kanisa walipokuwa wamelala waumini wengi�� alisema kijana huyo. Aidha aliweka wazi kuwa baada ya kuingia ndani ya kanisa hilo kwa ajili ya kumchukua Ester akakosea njia na kumwamusha Enock Mwandagane ambaye alishituka na kumkuta akiwa utupu hali ambayo ikamaliza nguvu za kichawi alizokuwa nazo. Baada ya hapo Mwandagane aliwaamusha waumini wenzake na kuanza kumfanyia maombi kijana huyo huku baadhi ya wasamaria waiwemo wanawake wakimsitiri kwa Kanga utupu wake. Kijana huyo alimtaja Mlafwaya Mwanguluma ambaye anaishi ziwa Rukwa kuwa ndiye mkuu wao wa mambo ya giza ambako ndiko walitarajia kwenda kuongezewa vyeo hivyo vya kichawi ili kijana huyo awe mkuu wa washirikina katika makaburi Jijini Mbeya. Kwa upande wake kiongozi wa huduma ya Maisha mapya ndani ya Kristo (New Life Crist) Amon Mwangosi alisema kijana huyo amekutwa mara nyingi katika mikutano mbalimbali ya Injili akikusudia kuvuruga huduma hiyo ya Mungu hivyo alichukua maamuzi ya kumpeleka katika kituo kidogo cha Polisi cha Nzovwe ili kumwepusha na gadhabu za wananchi wenye hasira kali. Kijana huyo baada ya kufikishwa katika kituo hicho cha polisi aliondolewa na kupelekwa katika kituo kikuu cha polisi kwa gari yenye namba za usajiri T502 AGD.

(CN) - On the 50th anniversary of Martin Luther King Jr.'s "I Have a Dream" speech, his estate sued a nonprofit run by the iconic leader's daughter, claiming she plans to keep using her father's "irreplaceable" memorabilia despite no longer being licensed to do so. In a lawsuit filed Aug. 28 in Fulton County Court, the Estate of Martin Luther King Jr. Inc. -- run by King's sons, Martin Luther King III and Dexter King -- claims it licensed the civil rights activist's intellectual property rights to The Martin Luther King Jr. Center for Nonviolent Social Change in March 2009. The King Center's CEO is Bernice King, the youngest child of the Rev. Dr. Martin Luther King Jr., who was assassinated in 1968. Dr. King's estate claims it supports the center's mission to maintain King's legacy and has been the nonprofit's single largest individual donor for the past decade. But it says the center has been careless with Dr. King's intellectual property, which includes the leader's "name, image, recorded voice and memorabilia," along with "all works of authorship ... including writings, speeches, sermons, letters and copyrights," trademark interests, and "the remains and coffin contained within the crypt of Dr. Martin Luther King Jr." The estate says it conducted an audit in April, which "revealed that the current manner of care and storage of the physical property by defendant is unacceptable." It claims the items are "susceptible to damage by fire, water, mold, and mildew, as well as theft." King's sons say they tried to work with their sister to fix the problems, but the relationship "has recently become strained, resulting in a total breakdown in communication and transparency." As a result, the estate allegedly was forced to terminate the worldwide, royalty- free licensing agreement by mailing the King Center a 30-day notice on Aug. 10. The notice stated that the King Center could prevent its license from being terminated if it agreed to place Bernice on administrative leave pending the final outcome of an audit; get the estate's approval for all responsibilities related to the "use, care and treatment" of the memorabilia; and immediately remove Andrew Young and Dr. King's niece, Alveda King, from its board of directors. The estate claims Alveda tried to "impede" the audit. Bernice, through her personal attorney, responded with a letter indicating that the center "is taking action to work a violation of plaintiff's intellectual property rights," according to the estate. It wants a court order forcing the King Center to stop using its intellectual property after the license expires in September. The estate is represented by William Hill of Rafuse Hill & Hodges in Atlanta. Home Back to Top Courthouse News

picture