Monday, September 9, 2013
Damu ya Yesu yamnasa Mchawi IJUMAA KUU
Mbeya ni kijana Jofrey Japhet.
Na, Ezekiel Kamanga, Mbeya.
KIJANA Jofrey Japhet(18), mkazi wa Kijiji cha
Nanyala wilayani Mbozi mkoani Mbeya
amenaswa na kile kilichoelezwa kuwa ni nguvu
za Mungu siku ya Ijumaa Kuu jana.
Tukio hilo limetokea leo eneo la Nzovwe Jijini
Mbeya majira ya saa kumi alfajiri katika
viwanja vya Kanisa la Kiinjili la Kilutheli
Tanzania (KKKT) ambapo mkutano wa Injili
ulikuwa ukiendelea.
Akizungumza na Mwandishi wa habari hizi
aliyefika mapema eneo la tukio, kijana huyo
alisema kuwa alikuwa pamoja na mjomba wake
aliyemtaja kwa jina la Edwin Mwakaswila
ambaye alimtuma kijana huyo kumchukua binti
ambaye alitakiwa waongozane kwenye safari
kuelekea Sumbawanga mkoani Rukwa.
��Nilikuwa na Mjomba wangu anayeitwa
Edwin Mwakaswila tukielekea Sumbawanga kwa
ajili ya kwenda kuongezewa cheo cha nguvu za
giza(uchawi) ndipo tulipofika hapa akaniambia
niingie kanisani kumchukua Ester Mwashilindi
ili tuende nae ndipo nikazidiwa na kushindwa
kuondoka ndani ya kanisa walipokuwa
wamelala waumini wengi�� alisema kijana
huyo.
Aidha aliweka wazi kuwa baada ya kuingia
ndani ya kanisa hilo kwa ajili ya kumchukua
Ester akakosea njia na kumwamusha Enock
Mwandagane ambaye alishituka na kumkuta
akiwa utupu hali ambayo ikamaliza nguvu za
kichawi alizokuwa nazo.
Baada ya hapo Mwandagane aliwaamusha
waumini wenzake na kuanza kumfanyia
maombi kijana huyo huku baadhi ya wasamaria
waiwemo wanawake wakimsitiri kwa Kanga
utupu wake.
Kijana huyo alimtaja Mlafwaya Mwanguluma
ambaye anaishi ziwa Rukwa kuwa ndiye mkuu
wao wa mambo ya giza ambako ndiko
walitarajia kwenda kuongezewa vyeo hivyo vya
kichawi ili kijana huyo awe mkuu wa
washirikina katika makaburi Jijini Mbeya.
Kwa upande wake kiongozi wa huduma ya
Maisha mapya ndani ya Kristo (New Life Crist)
Amon Mwangosi alisema kijana huyo amekutwa
mara nyingi katika mikutano mbalimbali ya
Injili akikusudia kuvuruga huduma hiyo ya
Mungu hivyo alichukua maamuzi ya kumpeleka
katika kituo kidogo cha Polisi cha Nzovwe ili
kumwepusha na gadhabu za wananchi wenye
hasira kali.
Kijana huyo baada ya kufikishwa katika kituo
hicho cha polisi aliondolewa na kupelekwa
katika kituo kikuu cha polisi kwa gari yenye
namba za usajiri T502 AGD.
(CN) - On the 50th anniversary of Martin Luther King Jr.'s "I Have a Dream" speech, his estate sued a nonprofit run by the iconic leader's daughter, claiming she plans to keep using her father's "irreplaceable" memorabilia despite no longer being licensed to do so. In a lawsuit filed Aug. 28 in Fulton County Court, the Estate of Martin Luther King Jr. Inc. -- run by King's sons, Martin Luther King III and Dexter King -- claims it licensed the civil rights activist's intellectual property rights to The Martin Luther King Jr. Center for Nonviolent Social Change in March 2009. The King Center's CEO is Bernice King, the youngest child of the Rev. Dr. Martin Luther King Jr., who was assassinated in 1968. Dr. King's estate claims it supports the center's mission to maintain King's legacy and has been the nonprofit's single largest individual donor for the past decade. But it says the center has been careless with Dr. King's intellectual property, which includes the leader's "name, image, recorded voice and memorabilia," along with "all works of authorship ... including writings, speeches, sermons, letters and copyrights," trademark interests, and "the remains and coffin contained within the crypt of Dr. Martin Luther King Jr." The estate says it conducted an audit in April, which "revealed that the current manner of care and storage of the physical property by defendant is unacceptable." It claims the items are "susceptible to damage by fire, water, mold, and mildew, as well as theft." King's sons say they tried to work with their sister to fix the problems, but the relationship "has recently become strained, resulting in a total breakdown in communication and transparency." As a result, the estate allegedly was forced to terminate the worldwide, royalty- free licensing agreement by mailing the King Center a 30-day notice on Aug. 10. The notice stated that the King Center could prevent its license from being terminated if it agreed to place Bernice on administrative leave pending the final outcome of an audit; get the estate's approval for all responsibilities related to the "use, care and treatment" of the memorabilia; and immediately remove Andrew Young and Dr. King's niece, Alveda King, from its board of directors. The estate claims Alveda tried to "impede" the audit. Bernice, through her personal attorney, responded with a letter indicating that the center "is taking action to work a violation of plaintiff's intellectual property rights," according to the estate. It wants a court order forcing the King Center to stop using its intellectual property after the license expires in September. The estate is represented by William Hill of Rafuse Hill & Hodges in Atlanta. Home Back to Top Courthouse News
Subscribe to:
Posts (Atom)